2. Kongamano la Dorothy na Watu wa Kushangaza. Aliamshwa na kishindo kikubwa dorothy asingalikuwa amelala kitandani angeumia. navyo ilivyokuwa kishindo kilimfanya astaajabu na kufikiri kilichofanyika; naye Toto akiiweka pua yake baradi usoni mwake dorothy na whined dismally. Dorothy aliamka na akangalia kila mahali. Nyumba ilikuwa imewacha kusonga; na pia sasa hapakuwa na giza, kwani jua lilikuwa likiwaka kupitia kioo, kujaza chumba chote. Dorothy alitoka kitandani naye toto akimfuata nyuma akiimbia na akaenda akalifungua mlango. Msichana mdogo aliwika kwa furaha kwa sababu ya mambo yote ya ajabu aliyoyaona macho yake yakipanuka yakawa kubwa kama sahani. Kimbuga kilikuwa kimeitua nyumba kwa utulivu- kwa kimbuga- katika nchi ya urembo tele. Palikuwa na nyasi yenye rangi ya kijani kibichi nayo miti ilikuwa kubwa na iliyokuwa na matunda makubwa yalionekana tamu sana.Kulikuwa na maua chungu nzima kila mahali alipotazama, ndege wenye rangi ambazo ahakuwahi kuona maisha yake yote yen
Influencing Today's Culture and Society